Zaburi 78:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na moyo wao haukuwa imara kwake;+Nao hawakuwa waaminifu katika agano lake.+ Hosea 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao hawakuniita mimi kwa moyo+ wao niwape msaada, ingawa waliendelea kupiga mayowe vitandani mwao. Wakaendelea kuwa na uzembe+ kwa sababu ya nafaka na divai yao tamu; wakazidi kunigeuka mimi.+
14 Nao hawakuniita mimi kwa moyo+ wao niwape msaada, ingawa waliendelea kupiga mayowe vitandani mwao. Wakaendelea kuwa na uzembe+ kwa sababu ya nafaka na divai yao tamu; wakazidi kunigeuka mimi.+