Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na moyo wao haukuwa imara kwake;+

      Nao hawakuwa waaminifu katika agano lake.+

  • Isaya 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+

  • Yeremia 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na hata ijapokuwa hayo yote Yuda dada yake mwenye hila hakurudi kwangu kwa moyo+ wake wote, ila kwa uwongo,’+ asema Yehova.”

  • Zekaria 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Waambie watu wote wa nchi na makuhani, ‘Mlipofunga+ na kuomboleza katika mwezi wa 5 na mwezi wa 7,+ mkafanya hivyo kwa miaka 70,+ je, kweli mlifunga kwa ajili yangu mimi?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki