13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+
5 “Waambie watu wote wa nchi na makuhani, ‘Mlipofunga+ na kuomboleza katika mwezi wa 5 na mwezi wa 7,+ mkafanya hivyo kwa miaka 70,+ je, kweli mlifunga kwa ajili yangu mimi?+