Mathayo 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wao huniabudu bure, kwa sababu wao hufundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’ ”+ Marko 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mnaiacha amri ya Mungu, na kuyashika sana mapokeo ya wanadamu.”+ Wakolosai 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kuhusu mambo ambayo yote yamekusudiwa kuharibiwa kwa kutumiwa, kulingana na amri na mafundisho ya wanadamu?+
22 kuhusu mambo ambayo yote yamekusudiwa kuharibiwa kwa kutumiwa, kulingana na amri na mafundisho ya wanadamu?+