Mathayo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Akajibu, akawaambia: “Kwa nini ninyi pia huvunja amri ya Mungu kwa sababu ya mapokeo yenu?+ Wagalatia 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nami nilikuwa nikifanya maendeleo makubwa zaidi katika dini ya Kiyahudi kuliko watu wengi wa umri wangu katika jamii yangu,+ kwa kuwa nilikuwa mwenye bidii zaidi+ kwa ajili ya mapokeo+ ya baba zangu. Tito 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 bila kusikiliza hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi+ na amri za watu+ ambao hugeuka na kuiacha kweli.+
14 nami nilikuwa nikifanya maendeleo makubwa zaidi katika dini ya Kiyahudi kuliko watu wengi wa umri wangu katika jamii yangu,+ kwa kuwa nilikuwa mwenye bidii zaidi+ kwa ajili ya mapokeo+ ya baba zangu.
14 bila kusikiliza hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi+ na amri za watu+ ambao hugeuka na kuiacha kweli.+