7 Lakini kataa hadithi za uwongo+ ambazo huchafua mambo matakatifu na ambazo wanawake wazee husimulia. Kwa upande mwingine, uwe ukijizoeza ujitoaji-kimungu ukiwa ni shabaha yako.+
16 Sivyo, haikuwa kwa kufuata hadithi za uwongo zilizotungwa+ kwa ufundi kwamba tuliwafahamisha ninyi juu ya nguvu na kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo,+ lakini ilikuwa kwa sisi kuwa mashahidi wa kujionea fahari yake.+