Mathayo 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wao huniabudu bure, kwa sababu wao hufundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’ ”+ Marko 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mnaiacha amri ya Mungu, na kuyashika sana mapokeo ya wanadamu.”+ Wakolosai 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mjihadhari: labda kuna mtu ambaye atawachukua+ ninyi kama windo lake kupitia falsafa+ na udanganyifu mtupu+ kulingana na pokeo la wanadamu, kulingana na mambo ya msingi+ ya ulimwengu na si kulingana na Kristo; Tito 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 bila kusikiliza hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi+ na amri za watu+ ambao hugeuka na kuiacha kweli.+
8 Mjihadhari: labda kuna mtu ambaye atawachukua+ ninyi kama windo lake kupitia falsafa+ na udanganyifu mtupu+ kulingana na pokeo la wanadamu, kulingana na mambo ya msingi+ ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;
14 bila kusikiliza hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi+ na amri za watu+ ambao hugeuka na kuiacha kweli.+