Wagalatia 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au afadhali zaidi kwamba sasa Mungu amewajua ninyi,+ kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi+ yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia kwa mara nyingine tena?+ 2 Petro 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Neno la methali ya kweli limewapata: “Mbwa+ ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa katika matope.”+
9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au afadhali zaidi kwamba sasa Mungu amewajua ninyi,+ kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi+ yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia kwa mara nyingine tena?+
22 Neno la methali ya kweli limewapata: “Mbwa+ ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa katika matope.”+