Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hakuna mtumishi wa nyumbani anayeweza kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana, ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au atashikamana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kuwa watumwa wa Mungu na wa Mali.”+

  • Waroma 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Je, hamjui kwamba ikiwa mnaendelea kujitoa wenyewe kwa yeyote kuwa watumwa ili kumtii yeye, ninyi ni watumwa wake kwa sababu mnamtii yeye,+ ama watumwa wa dhambi+ kwa kutazamia kifo+ ama wa utii+ kwa kutazamia uadilifu?+

  • Yakobo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki