-
Luka 16:13Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
13 Hakuna mtumishi wa nyumbani awezaye kutumikia kama mtumwa wa mabwana-wakubwa wawili; kwa maana, ama atachukia mmoja na kupenda mwingine, au atashikamana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kuwa watumwa wa Mungu na wa mali.”
-