Isaya 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Sikieni hili, enyi nyumba ya Yakobo, ninyi mnaojiita wenyewe kwa jina la Israeli+ na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,+ ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+ na mnaomtaja Mungu wa Israeli,+ si katika kweli na si katika uadilifu.+ Hosea 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ijapokuwa unafanya uasherati, Ee Israeli,+ Yuda asiwe na hatia,+ nanyi msije Gilgali,+ wala msiende Beth-aveni+ wala kuapa ‘Kama anavyoishi Yehova!’+
48 Sikieni hili, enyi nyumba ya Yakobo, ninyi mnaojiita wenyewe kwa jina la Israeli+ na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,+ ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+ na mnaomtaja Mungu wa Israeli,+ si katika kweli na si katika uadilifu.+
15 Ijapokuwa unafanya uasherati, Ee Israeli,+ Yuda asiwe na hatia,+ nanyi msije Gilgali,+ wala msiende Beth-aveni+ wala kuapa ‘Kama anavyoishi Yehova!’+