Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na madhabahu zilizokuwa juu ya paa ya chumba cha dari+ cha Ahazi ambazo wafalme wa Yuda walitengeneza, na madhabahu+ ambazo Manase alitengeneza katika nyua mbili za nyumba ya Yehova, mfalme akazibomoa, kisha akaziponda hapo, naye akatupa mavumbi yake katika bonde la mto la Kidroni.

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo akajenga tena mahali pa juu+ ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha madhabahu+ kwa Mabaali+ na kutengeneza miti mitakatifu,+ naye akaanza kuliinamia+ jeshi lote la mbinguni+ na kulitumikia.+

  • Yeremia 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa kama mahali pa Tofethi,+ zitakuwa najisi, yaani, zile nyumba zote ambazo juu ya paa zake walilifukizia moshi wa dhabihu jeshi lote la mbinguni+ na kuimiminia miungu mingine toleo la kinywaji.’”+

  • Yeremia 32:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na Wakaldayo wanaopiga vita juu ya jiji hili wataingia ndani na kuliwasha jiji hili na kuliteketeza kwa moto+ na nyumba ambazo juu ya paa zake wamemfukizia Baali moshi wa dhabihu na kuimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji kwa kusudi la kunitia uchungu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki