Yeremia 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na Wakaldayo wanaolishambulia jiji hili wataingia na kulichoma moto jiji hili na kuliteketeza+ pamoja na nyumba ambazo juu ya paa zake watu walimtolea dhabihu Baali na kuitolea miungu mingine matoleo ya kinywaji ili kunikasirisha.’+
29 Na Wakaldayo wanaolishambulia jiji hili wataingia na kulichoma moto jiji hili na kuliteketeza+ pamoja na nyumba ambazo juu ya paa zake watu walimtolea dhabihu Baali na kuitolea miungu mingine matoleo ya kinywaji ili kunikasirisha.’+