19 wala usije ukayainua macho yako mbinguni na kuona jua na mwezi na nyota, jeshi lote la mbinguni, nawe upate kushawishiwa na kuviinamia na kuvitumikia,+ vile ambavyo Yehova Mungu wako amegawia vikundi vyote vya watu chini ya mbingu nzima.+
16 Nao wakaendelea kuacha amri+ zote za Yehova, Mungu wao, wakajitengenezea sanamu za kuyeyushwa,+ ndama wawili,+ na kutengeneza mti mtakatifu,+ nao wakaanza kuliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kutumikia Baali;+