Zaburi 136:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yule anayeifanya ile mianga mikubwa:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Yeremia 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:
7 Yule anayeifanya ile mianga mikubwa:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi: