Mwanzo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+ Zaburi 136:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naam, jua ili litawale wakati wa mchana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Mathayo 5:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+
16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+
8 Naam, jua ili litawale wakati wa mchana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+