Zaburi 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,+Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+ Zaburi 136:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naam, jua ili litawale wakati wa mchana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Yeremia 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:
8 Naam, jua ili litawale wakati wa mchana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi: