Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na ikawa kana kwamba lilikuwa ni jambo dogo zaidi+ kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, sasa akamchukua Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ kuwa mke wake+ naye akaanza kwenda kumtumikia Baali+ na kumwinamia.

  • 1 Wafalme 22:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Naye akaendelea kumtumikia Baali+ na kumwinamia, naye akaendelea kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kulingana na yote ambayo baba yake alikuwa amefanya.

  • 2 Wafalme 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha Yehu akatuma ujumbe katika Israeli yote,+ hivi kwamba waabudu wote wa Baali wakaja. Hakuna hata mmoja aliyebaki ambaye hakuja. Nao wakaendelea kuingia katika nyumba ya Baali,+ na nyumba ya Baali ikajaa kutoka mwisho mpaka mwisho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki