31 Na ikawa kana kwamba lilikuwa ni jambo dogo zaidi+ kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, sasa akamchukua Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ kuwa mke wake+ naye akaanza kwenda kumtumikia Baali+ na kumwinamia.
53 Naye akaendelea kumtumikia Baali+ na kumwinamia, naye akaendelea kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kulingana na yote ambayo baba yake alikuwa amefanya.
21 Kisha Yehu akatuma ujumbe katika Israeli yote,+ hivi kwamba waabudu wote wa Baali wakaja. Hakuna hata mmoja aliyebaki ambaye hakuja. Nao wakaendelea kuingia katika nyumba ya Baali,+ na nyumba ya Baali ikajaa kutoka mwisho mpaka mwisho.