Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova,+ wakatumikia Mabaali.+

  • Waamuzi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ nao wakaanza kutumikia Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi+ na miungu ya Siria+ na miungu ya Sidoni+ na miungu ya Moabu+ na miungu ya wana wa Amoni+ na miungu ya Wafilisti.+ Basi wakamwacha Yehova wala hawakumtumikia yeye.+

  • 2 Wafalme 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi sasa waiteni kwangu manabii+ wote wa Baali, waabudu+ wake wote na makuhani+ wake wote. Msiache hata mmoja akose kuwapo, kwa sababu nina dhabihu kubwa kwa ajili ya Baali. Yeyote atakayekosa kuwapo hataendelea kuishi.” Kwa habari ya Yehu, yeye alitenda kwa ujanja,+ kusudi awaharibu waabudu wa Baali.

  • 2 Wafalme 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wakaendelea kuacha amri+ zote za Yehova, Mungu wao, wakajitengenezea sanamu za kuyeyushwa,+ ndama wawili,+ na kutengeneza mti mtakatifu,+ nao wakaanza kuliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kutumikia Baali;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki