Waamuzi 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Basi Yehova akawatia mkononi mwa Midiani+ kwa miaka saba. 2 Mambo ya Nyakati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+
6 Ndipo wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Basi Yehova akawatia mkononi mwa Midiani+ kwa miaka saba.
2 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+