Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Waamuzi 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+

  • Nehemia 9:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Lakini mara tu walipopata kupumzika, wakatenda tena mabaya mbele zako,+ nawe ukawaacha mkononi mwa adui zao, ambao waliwakanyagia chini.+ Kisha wakawa wanarudi na kukulilia wapate msaada,+ nawe ukasikia kutoka mbinguni kwenyewe+ na kuwakomboa kulingana na rehema zako nyingi, tena na tena.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki