28 “Lakini mara tu walipopata utulivu, walitenda tena yaliyo maovu mbele zako,+ nawe ulikuwa ukiwaacha mikononi mwa maadui wao, ambao waliwakandamiza.+ Kisha walirudi na kukuomba msaada,+ nawe uliwasikiliza ukiwa mbinguni na kuwaokoa tena na tena kwa sababu ya rehema zako nyingi.+