Waamuzi 4:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova.+ 2 Kwa hiyo Yehova akawatia mikononi mwa* Yabini mfalme wa Kanaani,+ aliyetawala Hasori. Mkuu wa jeshi lake aliitwa Sisera, naye aliishi Haroshethi+ ya mataifa.* Waamuzi 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini Waisraeli wakatenda tena mambo maovu machoni pa Yehova,+ basi Yehova akawatia mikononi mwa Wamidiani kwa miaka saba.+
4 Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova.+ 2 Kwa hiyo Yehova akawatia mikononi mwa* Yabini mfalme wa Kanaani,+ aliyetawala Hasori. Mkuu wa jeshi lake aliitwa Sisera, naye aliishi Haroshethi+ ya mataifa.*
6 Lakini Waisraeli wakatenda tena mambo maovu machoni pa Yehova,+ basi Yehova akawatia mikononi mwa Wamidiani kwa miaka saba.+