43 Aliwaokoa mara nyingi,+
Lakini walikuwa wakiasi na kukosa kutii,+
Nao walikuwa wakifedheheshwa kwa sababu ya makosa yao.+
44 Lakini alikuwa akiona taabu yao+
Na kusikia kilio chao cha kuomba msaada.+
45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,
Naye alikuwa akiwahurumia, akichochewa na upendo wake mwingi mshikamanifu.+