Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+

  • Kumbukumbu la Torati 32:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+

      Naye atawahurumia* watumishi wake+

      Atakapoona nguvu zao zimeisha,

      Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.

  • Isaya 63:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nitayataja matendo ya Yehova ya upendo mshikamanifu,

      Matendo ya Yehova yanayostahili sifa,

      Kwa sababu ya mambo yote ambayo Yehova ametutendea,+

      Mambo mengi mema ambayo ameitendea nyumba ya Israeli,

      Kulingana na rehema zake na upendo wake mshikamanifu ulio mwingi.

  • Maombolezo 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ingawa amesababisha huzuni, ataonyesha pia rehema kulingana na upendo wake mwingi sana mshikamanifu.+

  • Yoeli 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+

      Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,

      Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+

      Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki