Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wakati wowote Yehova alipowapa waamuzi,+ Yehova alikuwa pamoja na mwamuzi huyo, akawaokoa kutoka mikononi mwa maadui wao sikuzote za mwamuzi huyo; kwa maana Yehova aliwahurumia*+ kwa sababu ya kilio chao cha uchungu kilichosababishwa na wale waliowakandamiza+ na wale waliowatesa.

  • Zaburi 90:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Rudi, Ee Yehova!+ Hali hiyo itadumu mpaka lini?+

      Wahurumie watumishi wako.+

  • Zaburi 106:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,

      Naye alikuwa akiwahurumia,* akichochewa na upendo wake mwingi* mshikamanifu.+

  • Zaburi 135:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Yehova atawatetea* watu wake,+

      Naye atawahurumia* watumishi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki