Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa sababu hasira yake ni ya muda mfupi tu,+

      Lakini kibali chake* hudumu maisha yote.+

      Huenda kukawa na kilio jioni, lakini asubuhi, kuna kilio cha shangwe.+

  • Zaburi 103:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hatatafuta makosa sikuzote,+

      Wala hataendelea kuwa na hasira milele.+

  • Zaburi 103:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,

      Ndivyo upendo wake mshikamanifu ulivyo mkubwa kuelekea wale wanaomwogopa.+

  • Isaya 54:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 “Kwa maana nilikuacha kwa muda mfupi,

      Lakini nitakukusanya tena kwa rehema nyingi.+

  • Yeremia 31:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+

      Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka.

      Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+

      Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki