Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Maneno haya yote yatakapotimia kwenu, baraka na laana ambayo nimeweka mbele yenu,+ nanyi myakumbuke*+ katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu atawatawanya,+

  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wenu atakapowarudisha mateka wenu+ na kuwaonyesha ninyi rehema+ na kuwakusanya tena kutoka katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu aliwatawanya.+

  • Zaburi 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa sababu hasira yake ni ya muda mfupi tu,+

      Lakini kibali chake* hudumu maisha yote.+

      Huenda kukawa na kilio jioni, lakini asubuhi, kuna kilio cha shangwe.+

  • Zaburi 106:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Tuokoe, Ee Yehova Mungu wetu,+

      Na kutukusanya kutoka katika mataifa+

      Ili tulishukuru jina lako takatifu

      Na tushangilie kukusifu wewe.*+

  • Isaya 27:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siku hiyo Yehova atayapiga kabisa matunda kuanzia kijito kinachotiririka cha ule Mto* mpaka kwenye Korongo* la Misri,+ nanyi mtakusanywa mmoja baada ya mwingine, enyi watu wa Israeli.+

  • Yeremia 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Miaka 70 itakapotimia huko Babiloni nitawakazia ninyi fikira,+ nami nitatimiza ahadi yangu kwa kuwarudisha mahali hapa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki