Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 1:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mfalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye ameniagiza nimjengee nyumba Yerusalemu, nchini Yuda.+ 3 Yeyote miongoni mwenu, ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye, na apande kwenda Yerusalemu, kule Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli—ambaye nyumba yake ilikuwa Yerusalemu.*

  • Zaburi 147:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova analijenga Yerusalemu;+

      Huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanywa.+

  • Yeremia 32:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 ‘Nitawakusanya pamoja kutoka katika nchi zote ambako niliwatawanya kwa hasira yangu na kwa ghadhabu yangu na kwa ukali mwingi,+ nami nitawarudisha mahali hapa na kufanya wakae kwa usalama.+

  • Ezekieli 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi hizo na kuwaleta katika nchi yao na kuwalisha kwenye milima ya Israeli,+ kando ya vijito na kando ya makao yote nchini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki