Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kisha nitawakusanya kondoo wangu waliobaki kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye malisho yao,+ nao watazaana na kuwa wengi.+

  • Yeremia 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa kwa usalama.+ Naye ataitwa jina hili: Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+

  • Yeremia 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa: Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+

  • Ezekieli 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘“Nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na kuwaondoa kabisa nchini wanyama hatari wa mwituni,+ ili wakae kwa usalama nyikani na kulala misituni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki