Ezekieli 37:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘“Nami nitafanya agano la amani pamoja nao;+ litakuwa agano la milele pamoja nao. Nitawaimarisha na kuwafanya wawe wengi+ na kupaweka mahali pangu patakatifu miongoni mwao milele.
26 “‘“Nami nitafanya agano la amani pamoja nao;+ litakuwa agano la milele pamoja nao. Nitawaimarisha na kuwafanya wawe wengi+ na kupaweka mahali pangu patakatifu miongoni mwao milele.