Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 50:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitamrudisha Israeli kwenye malisho yake,+ naye atalisha juu ya Karmeli na juu ya Bashani,+ naye atashiba kwenye milima ya Efraimu+ na ya Gileadi.’”+

  • Ezekieli 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitawalisha kwenye malisho mazuri, na nchi ambamo watalisha itakuwa kwenye milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika nchi yenye malisho mazuri,+ nao watakula kwenye malisho bora juu ya milima ya Israeli.”

  • Mika 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hakika nitawakusanya ninyi nyote, enyi watu wa Yakobo;

      Kwa kweli nitawakusanya pamoja wale wanaobaki wa Israeli.+

      Kwa umoja nitawaweka kama kondoo zizini,

      Kama kundi la kondoo katika malisho yake;+

      Litakuwa na kelele za watu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki