Ezekieli 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Katika malisho mazuri nitawalisha wao, na makao yao yatakuwa katika milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika makao mazuri,+ na kwenye malisho manono watajilisha juu ya milima ya Israeli.” Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:14 Ibada Safi, uku. 105 Mrudie Yehova, uku. 5
14 Katika malisho mazuri nitawalisha wao, na makao yao yatakuwa katika milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika makao mazuri,+ na kwenye malisho manono watajilisha juu ya milima ya Israeli.”