Ezekieli 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawalisha kwenye malisho mazuri, na nchi ambamo watalisha itakuwa kwenye milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika nchi yenye malisho mazuri,+ nao watakula kwenye malisho bora juu ya milima ya Israeli.” Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:14 Ibada Safi, uku. 105 Mrudie Yehova, uku. 5
14 Nitawalisha kwenye malisho mazuri, na nchi ambamo watalisha itakuwa kwenye milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika nchi yenye malisho mazuri,+ nao watakula kwenye malisho bora juu ya milima ya Israeli.”