Isaya 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mlima huu+ Yehova wa majeshi atawaandalia watu wa mataifa yoteKaramu ya vyakula vinono,+Karamu ya divai bora,*Ya vyakula vinono vilivyojazwa urojorojo,Ya divai bora, iliyochujwa. Isaya 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye ataleta mvua kwa ajili ya mbegu mtakazopanda ardhini,+ na chakula* kitakachotoka ardhini kitakuwa kingi na chenye lishe.*+ Siku hiyo mifugo yenu italisha katika malisho makubwa.+ Yeremia 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+Na kung’aa kwa sababu ya wema wa* Yehova,Kwa sababu ya nafaka na divai mpya+ na mafuta,Na kwa sababu ya wanakondoo na ndama.+ Watakuwa* kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+Nao hawatadhoofika tena.”+
6 Katika mlima huu+ Yehova wa majeshi atawaandalia watu wa mataifa yoteKaramu ya vyakula vinono,+Karamu ya divai bora,*Ya vyakula vinono vilivyojazwa urojorojo,Ya divai bora, iliyochujwa.
23 Naye ataleta mvua kwa ajili ya mbegu mtakazopanda ardhini,+ na chakula* kitakachotoka ardhini kitakuwa kingi na chenye lishe.*+ Siku hiyo mifugo yenu italisha katika malisho makubwa.+
12 Watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+Na kung’aa kwa sababu ya wema wa* Yehova,Kwa sababu ya nafaka na divai mpya+ na mafuta,Na kwa sababu ya wanakondoo na ndama.+ Watakuwa* kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+Nao hawatadhoofika tena.”+