Isaya 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+ Isaya 65:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mbwamwitu na mwanakondoo watalisha pamoja,Simba atakula majani kama ng’ombe dume,+Na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ asema Yehova.
9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+
25 Mbwamwitu na mwanakondoo watalisha pamoja,Simba atakula majani kama ng’ombe dume,+Na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ asema Yehova.