Isaya 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+ Isaya 56:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitawaleta pia kwenye mlima wangu mtakatifu+Na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala. Dhabihu zao nzima za kuteketezwa na matoleo yao yatakubaliwa kwenye madhabahu yangu. Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote.”+ Isaya 65:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mbwamwitu na mwanakondoo watalisha pamoja,Simba atakula majani kama ng’ombe dume,+Na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ asema Yehova.
3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+
7 Nitawaleta pia kwenye mlima wangu mtakatifu+Na kuwafanya washangilie ndani ya nyumba yangu ya sala. Dhabihu zao nzima za kuteketezwa na matoleo yao yatakubaliwa kwenye madhabahu yangu. Kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote.”+
25 Mbwamwitu na mwanakondoo watalisha pamoja,Simba atakula majani kama ng’ombe dume,+Na chakula cha nyoka kitakuwa mavumbi. Hawatadhuru wala kusababisha uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ asema Yehova.