Isaya 44:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni mimi ninayefanya neno la mtumishi wangu litimieNa kutimiza kikamili utabiri wa wajumbe wangu;+Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litakaliwa,’+ Na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+Nami nitajenga upya magofu yake’;+ Isaya 61:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Watajenga upya magofu ya kale;Watasimamisha sehemu zilizoachwa ukiwa za zamani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoharibiwa,+Sehemu zilizoachwa ukiwa kizazi baada ya kizazi.+
26 Ni mimi ninayefanya neno la mtumishi wangu litimieNa kutimiza kikamili utabiri wa wajumbe wangu;+Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litakaliwa,’+ Na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+Nami nitajenga upya magofu yake’;+ Isaya 61:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Watajenga upya magofu ya kale;Watasimamisha sehemu zilizoachwa ukiwa za zamani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoharibiwa,+Sehemu zilizoachwa ukiwa kizazi baada ya kizazi.+
4 Watajenga upya magofu ya kale;Watasimamisha sehemu zilizoachwa ukiwa za zamani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoharibiwa,+Sehemu zilizoachwa ukiwa kizazi baada ya kizazi.+