Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova anasema hivi:

      “Wakati wa kibali* nilikujibu,+

      Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+

      Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+

      Ili kuitengeneza upya nchi,

      Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+

  • Isaya 51:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+

      Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+

      Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+

      Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+

      Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,

      Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki