Isaya 44:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni mimi ninayefanya neno la mtumishi wangu litimieNa kutimiza kikamili utabiri wa wajumbe wangu;+Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litakaliwa,’+ Na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+Nami nitajenga upya magofu yake’;+ Isaya 58:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Watajenga upya magofu ya kale kwa sababu yako,+Nawe utairudisha misingi ya vizazi vilivyopita.+ Utaitwa mrekebishaji wa kuta zilizobomoka,*+Mrekebishaji wa barabara zinazopita kwenye makao.
26 Ni mimi ninayefanya neno la mtumishi wangu litimieNa kutimiza kikamili utabiri wa wajumbe wangu;+Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litakaliwa,’+ Na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+Nami nitajenga upya magofu yake’;+ Isaya 58:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Watajenga upya magofu ya kale kwa sababu yako,+Nawe utairudisha misingi ya vizazi vilivyopita.+ Utaitwa mrekebishaji wa kuta zilizobomoka,*+Mrekebishaji wa barabara zinazopita kwenye makao.
12 Watajenga upya magofu ya kale kwa sababu yako,+Nawe utairudisha misingi ya vizazi vilivyopita.+ Utaitwa mrekebishaji wa kuta zilizobomoka,*+Mrekebishaji wa barabara zinazopita kwenye makao.