Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Geshemu Mwarabu,+ na maadui wetu wengine wote walipoambiwa kwamba nimejenga upya+ ukuta na hakuna mwanya wowote ukutani (ingawa kufikia wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango),+

  • Amosi 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ‘Siku hiyo nitakiinua kibanda cha Daudi+ kilichoanguka,*

      Nitarekebisha sehemu* zilizoharibika,

      Na kujenga upya magofu yake;

      Nitakijenga upya kama kilivyokuwa siku za kale,+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+

      Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+

      Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+

      Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki