Nehemia 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Geshemu Mwarabu,+ na maadui wetu wengine wote walipoambiwa kwamba nimejenga upya+ ukuta na hakuna mwanya wowote ukutani (ingawa kufikia wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango),+ Amosi 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ‘Siku hiyo nitakiinua kibanda cha Daudi+ kilichoanguka,*Nitarekebisha sehemu* zilizoharibika,Na kujenga upya magofu yake;Nitakijenga upya kama kilivyokuwa siku za kale,+ Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+
6 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Geshemu Mwarabu,+ na maadui wetu wengine wote walipoambiwa kwamba nimejenga upya+ ukuta na hakuna mwanya wowote ukutani (ingawa kufikia wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango),+
11 ‘Siku hiyo nitakiinua kibanda cha Daudi+ kilichoanguka,*Nitarekebisha sehemu* zilizoharibika,Na kujenga upya magofu yake;Nitakijenga upya kama kilivyokuwa siku za kale,+ Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+
14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+