Nehemia 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kuhani mkuu Eliashibu+ na ndugu zake makuhani wakaanza kujenga Lango la Kondoo.+ Wakalitakasa*+ na kuweka milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ na mpaka kwenye Mnara wa Hananeli.+ Nehemia 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wana wa Hasenaa walijenga Lango la Samaki;+ walilitengeneza kwa mbao,+ wakaweka milango yake, makomeo yake, na mapingo yake.
3 Kuhani mkuu Eliashibu+ na ndugu zake makuhani wakaanza kujenga Lango la Kondoo.+ Wakalitakasa*+ na kuweka milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ na mpaka kwenye Mnara wa Hananeli.+
3 Wana wa Hasenaa walijenga Lango la Samaki;+ walilitengeneza kwa mbao,+ wakaweka milango yake, makomeo yake, na mapingo yake.