Nehemia 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeshua alimzaa Yoyakimu, Yoyakimu alimzaa Eliashibu,+ naye Eliashibu alimzaa Yoyada.+ Nehemia 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kabla ya wakati huo, kuhani aliyesimamia maghala* ya nyumba ya* Mungu wetu+ alikuwa Eliashibu,+ mtu wa ukoo wa Tobia.+ Nehemia 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mmoja wa wana wa Yoyada+ mwana wa kuhani mkuu Eliashibu+ alikuwa amemwoa binti ya Sanbalati+ Mhoroni. Kwa hiyo nikamfukuza kutoka mbele yangu.
4 Sasa kabla ya wakati huo, kuhani aliyesimamia maghala* ya nyumba ya* Mungu wetu+ alikuwa Eliashibu,+ mtu wa ukoo wa Tobia.+
28 Mmoja wa wana wa Yoyada+ mwana wa kuhani mkuu Eliashibu+ alikuwa amemwoa binti ya Sanbalati+ Mhoroni. Kwa hiyo nikamfukuza kutoka mbele yangu.