10 Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ ofisa* Mwamoni+ waliposikia jambo hilo, walikasirika sana kwa sababu mtu fulani alikuwa amekuja kuwatendea watu wa Israeli jambo jema.
14 Ee Mungu wangu, mkumbuke Tobia+ na Sanbalati na matendo haya yote, na pia Noadia yule nabii wa kike na manabii wengine ambao daima walijaribu kuniogopesha.