14 Ee Mungu wangu, mkumbuke Tobia+ na Sanbalati na matendo haya yote, na pia Noadia yule nabii wa kike na manabii wengine ambao daima walijaribu kuniogopesha.
7 Kisha nikafika Yerusalemu, nami nikaona jambo baya sana ambalo Eliashibu+ alikuwa amefanya kwa kumpa Tobia+ ghala katika ua wa nyumba ya Mungu wa kweli.