Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa Sanbalati Mhoroni, Tobia+ ofisa* Mwamoni,+ na Geshemu Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Mnafanya nini? Je, mnamwasi mfalme?”+

  • Nehemia 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Tobia+ Mwamoni,+ aliyekuwa amesimama kando yake, akasema: “Hata mbweha akipanda juu ya kile wanachojenga, atauangusha ukuta wao wa mawe.”

  • Nehemia 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ee Mungu wangu, mkumbuke Tobia+ na Sanbalati na matendo haya yote, na pia Noadia yule nabii wa kike na manabii wengine ambao daima walijaribu kuniogopesha.

  • Nehemia 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha nikafika Yerusalemu, nami nikaona jambo baya sana ambalo Eliashibu+ alikuwa amefanya kwa kumpa Tobia+ ghala katika ua wa nyumba ya Mungu wa kweli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki