Nehemia 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa Sanbalati Mhoroni, Tobia+ ofisa* Mwamoni,+ na Geshemu Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Mnafanya nini? Je, mnamwasi mfalme?”+ Nehemia 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Waarabu,+ Waamoni, na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu inasonga mbele na kwamba mianya ilikuwa ikizibwa, wakakasirika sana.
19 Sasa Sanbalati Mhoroni, Tobia+ ofisa* Mwamoni,+ na Geshemu Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Mnafanya nini? Je, mnamwasi mfalme?”+
7 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Waarabu,+ Waamoni, na Waashdodi+ waliposikia kwamba kazi ya kurekebisha kuta za Yerusalemu inasonga mbele na kwamba mianya ilikuwa ikizibwa, wakakasirika sana.