Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+ Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:14 “Kila Andiko,” uku. 150
14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+