Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake,+

      Nao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+

      22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,

      Wala hawatapanda na watu wengine wale.

      Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+

      Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.

  • Ezekieli 28:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Nitakapowakusanya tena watu wa nyumba ya Israeli kutoka miongoni mwa mataifa walikotawanywa,+ nitatakaswa kati yao machoni pa mataifa.+ Nao watakaa katika nchi yao+ niliyompa mtumishi wangu Yakobo.+ 26 Wataishi huko kwa usalama+ na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu+ na watakaa kwa usalama nitakapotekeleza hukumu dhidi ya wote wanaowazunguka ambao wanawadhihaki;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao.”’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki