Isaya 65:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake,+Nao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+ 22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,Wala hawatapanda na watu wengine wale. Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao. Yeremia 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Utapanda tena mashamba ya mizabibu kwenye milima ya Samaria;+Wanaopanda watapanda na kufurahia matunda yake.+ Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+
21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake,+Nao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+ 22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,Wala hawatapanda na watu wengine wale. Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.
5 Utapanda tena mashamba ya mizabibu kwenye milima ya Samaria;+Wanaopanda watapanda na kufurahia matunda yake.+
14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+