Isaya 61:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Watajenga upya magofu ya kale;Watasimamisha sehemu zilizoachwa ukiwa za zamani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoharibiwa,+Sehemu zilizoachwa ukiwa kizazi baada ya kizazi.+ Ezekieli 36:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Siku nitakayowatakasa kutokana na hatia yenu yote, nitayafanya majiji yakaliwe+ na magofu yajengwe upya.+
4 Watajenga upya magofu ya kale;Watasimamisha sehemu zilizoachwa ukiwa za zamani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoharibiwa,+Sehemu zilizoachwa ukiwa kizazi baada ya kizazi.+
33 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Siku nitakayowatakasa kutokana na hatia yenu yote, nitayafanya majiji yakaliwe+ na magofu yajengwe upya.+