Ezekieli 36:33, 34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Siku nitakayowatakasa kutokana na hatia yenu yote, nitayafanya majiji yakaliwe+ na magofu yajengwe upya.+ 34 Nchi yenye ukiwa, iliyokuwa ukiwa ili kila mtu anayepita aione, italimwa.
33 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Siku nitakayowatakasa kutokana na hatia yenu yote, nitayafanya majiji yakaliwe+ na magofu yajengwe upya.+ 34 Nchi yenye ukiwa, iliyokuwa ukiwa ili kila mtu anayepita aione, italimwa.